Makonda смотреть последние обновления за сегодня на .
MAKONDA AKIAGA MWILI WA LEMUTUZ KWA MAJONZI WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm
Rais John Magufuli, pamoja na kelele zinazopigwa na baadhi watu kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yeye hashughuliki nazo kwakuwa anachoangalia ni namna kiongozi huyo anavyopambana na dawa za kulevya.
RC MAKONDA,
WAZIRI NAPE ASIMULIA MAKONDA ALIVYOVAMIA OFISI ZA CLOUDS "NILIKATAZWA KUCHUNGUZA" WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm
PAUL MAKONDA ASEPA na KIJIJI CHAKE MSIBANI kwa MEMBE, MCHUNGAJI KIMARO AFUNGUKA HAYA... PAUL Makonda ni moja ya watu waliohudhuria hafla ya kuaga mwili mwa Bernard Membe kwenye Viwanja wa Karimjee, Jijini Dar es saala.. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: 🤍 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍 ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: 🤍 ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews🤍gmail.com OR abbymrisho🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: 🤍 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ Subscribe Global TV 🤍
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda leo Septemba 25 amekutana na wakuu wa Wilaya na watendaji wote wa mkoa wanaosimamia miradi mbalimbali ya serikali ambapo wamewasilisha utekelezaji wa miradi hiyo.
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 🤍 Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍
Waziri Philip Mpango ameagiza makontena 20 ya samani yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yapigwe mnada.
WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm
Unaweza Kutazama Matangazo ya Moja Kwa Moja Muda Huu - Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es Salaam #PAUL_MAKONDA 🤍baba_keagan Anazungumza na wasanii wa Tasinia zote za Muziki wa Dansi, Bongo Movie, Bongo Fleva, Ngoma za Asili, Washereheshaji (Mc) Sarakasi na wengineo Muda Huu Katika kuhakikisha wanapewa kipaumbele na kudhihirisha kuwa Jiji la Dar es Slaam ndio nyumbani kwao na nyumbani kumenoga #HAINAKUFELI #HUUNIMWAKAWAKO #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya #MchezoUsiuchezeeWewe #WeweNiBora
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, wameahidi Roma kupatikana Jumapili hii baada ya wasanii pamoja na ndugu wa Roma kutua nyumbani kwake na kueleza kilichomkuta rapper huyo.
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ni miongoni mwa watu waliojitokeza katika Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza kutoa heshima za mwisho wa Hayati John Magufuli #BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: 🤍 ►INSTAGRAM: 🤍 ►TWITTER: 🤍 ►FACEBOOK: 🤍 ►WEBSITE: 🤍
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amepiga marufuku watendaji wa serikali wa mkoa huo kutoka nje ya mkoa bila kutoa taarifa kwake. Makonda amepiga marufuku hiyo wakati wa kongamano la tathimini ya hali ya miundombinu ya barabara za mkoa huo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar. Kauli hiyo ya Makonda imekuja baada kukosekana kwa watendaji ambao walitakiwa kuhudhuria kongamano hilo kwa madai kuwa wako nje ya mkoa kikazi huku waliobakia wakishindwa kueleza kuwa wapo kwa ajili ya kazi gani. ” Kuanzia sasa hakuna mtumishi wa mkoa huu kutoka nje bila kutoa taarifa hata kama ni kazi ya wizara gani lazima mtoe taarifa, kumekuwa na tabia ya watu kujitengenezea tu safari ambazo hazijulikani wakati hata rais wetu alishazikataza,” alisema Makonda.
Mkuu wa mkoa wa DSM, RC Paul Makonda akiendesha baiskeli wakati akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miundombinu ya barabara maeneo ya Daraja la Kigamboni
MAKONDA - "Napenda KUSEMWA, Yaani NISIPOSEMWA Hadi NASHANGAA, MKE Wangu AVUMILIE Tu" Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amekabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa mpya Abubakari Kunenge, ambapo ameelezea ni jinsi gani hufuraishwa na maneno ya kejeli yanayozungumzwa juu yake. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍 ⚫️ VISIT AMAZON: 🤍 ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest🤍gmail.com OR abbymrisho🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ Subscribe Global TV 🤍
Follow MkasiTV on Facebook : 🤍 Twitter : 🤍MkasiTV
#wasafi #bigsundaylive
Jeshi la Polisi Nchini Wakimalizia maadhimisho ya siku ya Polisi Tanzania leo na Wapo Katika Ukumbi wa Mlimani City Kuwapatia Askari vyeti na zawadi Mbalimbali kama kuwapa motisha katika utendaji wao wa kazi. . Mgeni Rasmi kataika shughuli hii ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Wageni wengine walioalikwa kwenye hafla hiyo ni wasanii wa muziki na filamu nchini.
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 🤍 Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍
Baada ya Utofauti uliokuwepo kwa Muda Mrefu Kati ya Makonda na Gwajima hatimaye leo wakutana Uso kwa Uso kwa Kadrinali Pengo.
November 26 2016 ziara ya Dar Mpya ilikuwa Ubungo ambapo RC Makonda alitembelea kampasi ya chuo na hospitali ya taaluma na tiba ya chuo kikuu cha afya na sayanzi shirikishi, Muhimbili. iliyoko Mloganzila, wakati akiondoka eneo hilo wananchi walisimama barabara kuzuia msafara wakidai kutopewa fidia baada ya nyumba zao kubomolewa kupisha mradi huo.